Ahlul Bayt Digital Islamic Library Project
988 Users
Online
20 June, 2013
10 Sha`baan, 1434
Feature:
Select Language
A-Z Index
Topic Index
Belief & Creed
- General (11)
- God and His Justice (4)
- Prophethood
- Imamate (4)
- Resurrection (4)
- Comparative & Polemical - Within Islam (36)
Sunni and Shi'a (35)
- Comparative & Polemical - Other Religions (4)
Islam and Christianity (4)
Islam and Hinduism
- Comparative & Polemical - Western thought
DILP Projects
Gallery of Audio, Video, Images, and Calligraphy
- Adhan (Call to Prayer)
- Art, Images, and Calligraphy (1)
- Dua Recitation
- Elegies (Nawha/Latmiyyah) (1)
- Eulogies (Na't, Manqabat, Qasidah) (3)
- Events
- Lectures (85)
- Movies
- Presentations
- Qur'an Recitation
- Speeches of the Ahlul Bayt
- Ziyaraat (Salutations)
Hadith and its Sciences
- Hadith Sciences (2)
- Sayings and Traditions (9)
History and Biography
- General (1)
- Before Muhammad (4)
- The Prophet Muhammad and Early Islam (102)
General (1)
The Prophet Muhammad - Life and Teachings (25)
Imam Ali (13)
Fatima al-Zahra (15)
Imam Hasan (1)
Imam Husayn and Karbala (28)
Imam Zayn al-`Abideen (2)
Imam Muhammad al-Baqir
Imam Ja'far al-Sadiq (1)
Imam Musa al-Kadhim (1)
Imam Ali al-Ridha
Imam Muhammad al-Taqi (1)
Imam Ali al-Naqi (1)
Imam Hasan al-Askari (1)
Imam al-Mahdi (4)
Khadija (2)
Companions (6)
- From 8th - 18th Century AD
Scholars
- Recent & Contemporary (1)
Scholars
Islamic Education
- Community Resources
- Hawza - Advanced Islamic Studies (29)
Aqaid (Theology)
Fiqh (Jurisprudence)
Ilm al-Hadith (2)
Ilm ar-Rijal
Irfan (Esoteric Islam)
Islamic Philosophy
Language Studies
Mantiq
Tafsir al-Qur'an (Exegesis) (27)
Tarikh (History)
Ulum al-Qur’an
Usul al-Fiqh
- Islamic Weekend School (Madrasah)
Kids Korner
- Books and Activities (8)
- Images
Laws, Practice, and Worship
- Death & Dying (2)
- Economics (1)
- Fiqh and Ijtihad (Derivation of Law)
- General (4)
- Hajj (Pilgrimage)
- Hijab (Islamic Modest Dress) (3)
- Jihad (Struggle in the Way of Allah) (6)
- Marriage (6)
- Promoting Good and Preventing Evil
- Ramadan and Fasting (3)
- Salaat (Ritual Prayer) (6)
- Zakat, Khums, and Sadaqah (Charity) (2)
Other
- Archives of Scholarly Journals
Al-Serat Article Archive
Al-Tawhid Article Archive
Al-Thaqalayn Article Archive
- Islamic Publishers & Booksellers
- Book Introductions
- Stories & Poems (1)
Politics/Current Events
- Colonialism and Human Rights (1)
- Media (1)
- Orientalism
- Terrorism and Violence (1)
Qur'an and its Sciences
- Qur'an Recitation
- Qur'anic Sciences (3)
- Text, Translation, and Commentaries (37)
Science and Islam
- General
- Islamic Economics (2)
Society
- Family & Societal Issues (2)
- Women (3)
- Youth (3)
Supplications, Spirituality, Ethics, and Philosophy
- Philosophy, Sufism, and `Irfan
- Du'a (Supplication) (4)
Du'a Recitation
- Ethics (20)
- Philosophy
- Spirituality, Sufism, and `Irfan (1)
Family & Societal Issues
Youth
Search Al-Islam.org
List All
Full-Length Text In-Depth / Journal Articles Article / Short-Length Text Audio Lectures Audio Recitations Video ZIP File
(277) (171) (1) (13) (60) (1) (30) (1)
Full-Length Text
Full-Length Text
Display by Language:
Full-Length Text Haja Ya Dini by Sayyid Saeed Akhtar Rizvi [Swahili] Views: 21681
The Need of Religion

Full-Length Text Haki za Wanawake Katika Uislamu by Allama Murtada Mutahhari [Swahili] Views: 20411

Mahitaji ya zama zetu hizi yanamlazimisha kutathmini maswali mengi yenye umuhimu na sio kuridhika na tathmini zake za awali. Mfumo wa haki za ndoa na majukumu ya kifamilia ni miongoni mwa masuala haya.

Suala la msingi kabisa juu ya kifamilia, ni iwapo mfumo wa ndoa unajitegemea na hautangamani na mifumo mingine yote ya kijamii na una vigezo na mantiki take maalum, au ni moja tu ya mifumo mingi ya kiajmii na kuwa vigezo na falsafa zile zile zinazotumika kulishugulikia suala hili kama ilivyo kwa mifumo mingine ya kijamii.

Swahili translation of Shahid Mutahhari's Rights of Women in Islam (also available on this website). Approx. 315 pages. Kimetarjumiwa na: Aziz Njozi. Kimehaririwa na: Dr. M. S. Kanju. Kupangwa katika Kompyuta na: Ukhti Pili Rajab. Toleo la kwanza: Mei, 2007. Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation, P.O. Box 19701 Dar es Salaam, Tanzania. Simu:+255 22 2110640. Fax: +255 22 2131036. Email: info@alitrah.org. Website: www.alitrah.org

Full-Length Text Harakati za Wakristo Kuwasalimisha Waislamu by Dr. Zafrul-Islam Khan [Swahili] [Zip] Views: 14185
Kutoka: Al-Tawhid Vol. VI No.3 Rajab-Ramadhan 1409 AH

The efforts by Christian missionaries to convert Muslims

Full-Length Text Hekaya Za Bahlul Mwenye Busara by Amiraly M.H. Datoo [Swahili] [Zip] Views: 13923
Stories of Bahlul

Full-Length Text Hidaya Ya Ramadhani by Ductoor A. Kadir Sudi [Swahili] Views: 16839
Kitabu hiki kinazungumzia kufunga na kufungua katika mwezi mtukufu wa Ramadhani na vile Muislamu anatakiwa awe katika mwezi huu.

Full-Length Text Hijab by Mohammad Ebrahim Al-Muwahid [Swahili] [Zip] Views: 17901
Hili ni vazi rasmi kwa wanawake wa ki-Islamu kama ilivyoainsihwa katika Qur’an Tukufu, na ni amri sahihi kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Ni vazi la heshima kwa mwanamke, vazi linalo linda utu wa mwanamke, vazi linalo muondelea mwanamke usumbufu mitaani, vazi linalo linda heshima ya mwanamke, vazi linalo ondoa maovu na uchafu katika jamii, vazi linalo watambulisha wanawake wenye heshima na vazi linalo mlinda mwanamke kutokana na maovu.

Full-Length Text Hijab - Vazi la Mwanamke wa Kiislamu by Muhammad Ibrahim Kadhim Al-Qazwini [Swahili] Views: 16550
Hili ni vazi rasmi kwa wanawake wa ki-Islamu kama ilivyoainsihwa katika Qur’an Tukufu, na ni amri sahihi kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Ni vazi la heshima kwa mwanamke, vazi linalo linda utu wa mwanamke, vazi linalo muondelea mwanamke usumbufu mitaani, vazi linalo linda heshima ya mwanamke, vazi linalo ondoa maovu na uchafu katika jamii, vazi linalo watambulisha wanawake wenye heshima na vazi linalo mlinda mwanamke kutokana na maovu.

Kimetarjumiwa na: Ustadh Msabah Sha'ban Mapinda

Kimetolewa na kuchapishwa na: Al-Itrah Foundation
Email: info@alitrah.org
Website: www.alitrah.org

Full-Length Text Historia na Sira za Viongozi Waongofu - Sehemu ya Kwanza by Jopo la waandishi wa Vitabu vya Kiada [Swahili] Views: 15661
Hakuna shaka kuwa historia ya mwanadamu ndio chemchemu na chanzo cha maarifa, chanzo ambacho mataifa yanakihitaji katika safari yake yenye kuendelea. Na ndio chanzo pekee chenye uwezo wa kuhuisha na kulisukuma taifa mbele na kulipa sifa na hadhi maalumu huku kikilifunganisha taifa hilo na miziza yake ya ustaarabu ambayo hulizuwia taifa dhidhi ya mmomonyoko.

Qur'ani inamhimiza kila mwanadamu ikimtaka azame ndani ya historia ya mwanadamu na azingatie yaliyomo ili awaidhike na kuongoka, hivyo Mwenyezi Mungu anasema: "Je, hawatembei katika ardhi ili wapate nyonyo za kufahamia au masikio ya kusikiliza...?" (22:46) Baada ya Mwenyezi Mungu kutoa historia ya Adi, Thamudi, Firauni, watu wa miji iliyopinduliwa na watu wa Nuh, akasema: “Ili tuifanye ukumbusho kwenu na sikio lisikialo lisikie.” (69:12)

Historia ya ujumbe mbalimbali wa Mwenyezi Mungu imejaa masomo na mazingatio, masomo ambayo yameonyesha jinsi Manabii watukufu walivyojali mataifa yao ili kuyaokoa kutoka kwenye matatizo mbalimbali. Haya na mengine utayakuta ndani ya kitabu hiki.


Kimetarjumiwa na: Hemedi Lubumba Selemani

Kimetolewa na kuchapishwa na: Al-Itrah Foundation
Email: info@alitrah.org (Website: www.alitrah.org)

A translation of: Tarikh wa Sirah al-Qadat al-Hudat

Full-Length Text Hukumu za Kifikihi Zinazowahusu Wanawake by Mustafa Ranjbar Shirazi [Swahili] Views: 12624

"Ni jambo la wajibu juu ya kila mtu kujiunza masiala ambayo yanamtokea mara kwa mara." (Hii ni kauli ya wanavyuoni wa kifikihi iliyodondolewakutoka vitabu vya fatwa au hukumu za kifikihi). Hakika kipindi cha ujana kinahesabika kuwa ndiyo fursa yenye thamani katika kujipatia maarifa na kuyavuta kutoka kwenyvyanzo vya elimu ambavyo mtu atafidika navyo muda wote wa uhai wake. Kila umri wa mwanadamu unavyosonga mbele, ndivyo majukumu yake yanavyozidi na maisha yake kuwa na msongamano. Kwa hali hiyo, basi hukosa fursa ya faragha itakayoruhusu kujifunza yale yanayomlazimu miongoni mwa hukumu za sheria za Kiislamu, na maoni ya wanavyuoni wa sheria, ambazo nyingi miongoni mwa hizo huenda atazihitaji katika maisha yake hapo baadaye. Bila shaka mwanadamu anahitaji kuwa na wigo katika kufanya mabadiliko ya kibinadamu ndani ya safari yake ya maisha.

Kimetarjumiwa na: Ukhti Maysarah Ali

Kimetolewa na kuchapishwa na: Al-Itrah Foundation
Email: info@alitrah.org (Website: www.alitrah.org)

Full-Length Text Hukumu za Kusisimua Zilizotolewa na Imam Ali [a] by Allama al-Amini [Swahili] Views: 15250
Legal Judgements of Imam Ali (a)

Full-Length Text Imam Mahdi katika Usunni Na Ushia by Sayyid Abdul Rahim al-Musawi na Sheikh Abdul Karim al-Bahbahani [Swahili] Views: 9466
Kwa Waislamu, imani ya kuja kwa Mahdi (Muhudi) karibu ya mwisho wa dunia ni imani ambayo ina asili katika dini. Waislamu wote bila kujali tofauti za madhehebu zao wanakubaliana juu ya imani hii kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.) alisema: "Hata iwe imebakia siku moja tu kwa dunia hii kufikia mwisho wake Allah atairefusha siku hiyo ili kumwezesha Imam huyo kutawala na kuujaza ulimwengu huu uadilifu, amani na utulivu wakati ambapo ulikuwa umejaa ufisadi na dhulma." Kitu cha kuvutia ni kwamba imani hii haiko kwa Waislamu tu bali hata katika dini nyingine wana imani kama hii kwamba atatokea mtu wakati wa mwisho ambaye ataondoa dhulma na ufisadi na kuujaza ulimwengu huu uadilifu, amani na utulivu. “Hakika ulimwengu unalingojea suluhisho litakaloukusanya chini ya bendera moja na tamko moja.” (Bertrand Russell)



Kimetarjumiwa na: Hemedi Lubumba Selemani

Kimetolewa na kuchapishwa na: Al-Itrah Foundation
Email: info@alitrah.org (Website: www.alitrah.org)

Full-Length Text Jannat na Jahannam (Peponi na Motoni) by Amiraly M.H. Datoo [Swahili] [Zip] Views: 17691

Full-Length Text Je Kufunga Mikono Ni Bidaa au Sunna by Ayatullah Ja'far Subhani [Swahili] Views: 13707
Je, Kufunga Mikono Ni Bidaa au Sunna? Kwa Mtazamo wa Qur'ani na Sunna. Kimetarjumiwa na: Hemedi Lubumba Selemani. Kimehaririwa na: Ustadh Abdallah Mohamed. Toleo la kwanza: Julai 2007

Kimetolewa na kuchapishwa na: Alitrah Foundation. P.O. Box 19701 Dar es Salaam, Tanzania. Website: www.alitrah.org (Email: info@alitrah.org). Original Title: al-Qabdh baina al-Bid'ah wa as-Sunnah.

Full-Length Text Je Mtume aliteuwa Mrithi? by Dr M S Kanju [Swahili] [Zip] Views: 11994
Did the Prophet (s) not appoint a successor?

Full-Length Text Jee Shia Huamini Tahreef? by Amiraly M.H. Datoo [Swahili] [Zip] Views: 17461
Do Shias believe in the interpolation (Tahreef) of the Qur'an?

Full-Length Text Johari za Hekima kwa Vijana by Muhammad Reyshahri [Swahili] Views: 8302
Kimetarjumiwa na: Hemedi Lubumba Selemani

Kimetolewa na kuchapishwa na: Al-Itrah Foundation
Email: info@alitrah.org (Website: www.alitrah.org)

A translation of: Jawaahiru ‘l-Hikmah li ‘sh-Shabaab

Full-Length Text Kanuni za Ndoa na Maadili ya Familia by Hujjat al-Islam Ibrahim Amini [Swahili] Views: 18945
Katika kitabu hiki mwandishi amefanya jitihada kubwa kufanya utafiti na uchunguzi wa kina wa somo la mfumo wa maadili ya familia na uhusiano wa mume na mke, kwa mtazamo wa kiislamu. Kitabu hiki kitafaa sana katika jamii yetu hii ambayo imemomonyoka mno kimaadili kwa kuiga tamaduni za kimagharibi ambazo zimewapotosha wengi katika vijana wetu. Na ingawa kimeandikwa kwa mtazamo wa kiislamu, lakini ni kitabu ambacho kitawafaa sana hata wasio waislamu, kwani kinazungumzia maisha ya ndoakwa ujumla.

Kimetajumiwa na: Al-Akh Salman Shou

Kimetolewa na kuchapishwa na: Al-Itrah Foundation
P. O. Box 19701, Dar-es-Salaam, Tanzania
Email: info@alitrah.org / Website: www.alitrah.org

English title of this book: Principles of Marriage

Full-Length Text Karbala by Amiraly M.H.Datoo [Swahili] [Zip] Views: 30022
This is a picture guide. Please note file size: 734 kb (due to pictures).

Full-Length Text Katika Hema La Rustam by Ustadh Shahid Murtada Mutahhari [Swahili] [Zip] Views: 3371

Full-Length Text Khadija-tul-Kubra by Sayyed A. A. Razwy [Swahili] Views: 15650
Khadija alikuwa mke wa kwanza wa Mtume Muhammad (s.a.w.w). Maisha ya Khadija yamejaa utajiri wa mwongozo wa kimungu. Sifa yake kubw katika maisha yake ya kiutakatifu, ilikuwa ni imani yake isiyo na kifani juu ya Uislamu. Imani yake ilikuwa kama jabali katika bahari iliyochafuka.

Khadija alifuzu katika mitihani yote hiyo. Ufunguo wa kwenye mafanikio yake ilikuwa ni upendo wake kwa Mungu, mapenzi kwa mume wake na kujituma kwake ili kuufanya Uislamu ufanikiwe. Yeye alikuwa mfano ambao wanawake wanaweza kuiga katika maisha zao.

Mke wa Mtume Muhammad {Mungu Amrehemu}
Historia fupi ya maisha yake (A short history of her life)

Kimetarjumiwa na (Translated to Swahili by):
al-Akhy Salman Y. Shou