Subject Index 
Search
Announcements
Feedback
NASABA

Sayyidina Abu Abdallah Husayn [a] alikuwa lmamu wa Tatu wa nyumba ya Mtukufu Mtume [s]. Alikuwa mwanawa binti wa Mtukufu Mtume [s], Bibi Fatimah [a], binti ambaye Mtume [s] alikuwa akisimama kuonyesha heshima yake kila alipoingia mahali alipokuwepo Mtume [s]. Baba yake alikuwa Sayyidina Ali [a] binamu yake Mtume [s] na alikuwa mjukuu wa Mtume [s].