Subject Index 
Search
Announcements
Feedback
Dua ya Kuuaga Mwezi wa Ramadhan

Ni Sunna ya Mtume (s.a.w.) aliyomfunza Jabir bin Abdillahi Al Ansariy kuwa, katika Juma ya mwisho ya Ramadhani, maneno haya yasomwe:

Ee Mola: Usiijaalie Ramadhani ya mwaka huu kuwa ndiyo mwisho wetu wa kufunga. Kisha ninakuomba Unijaalie niwe mwenye kurehemewa wala Usinijaalie kunyimwa (malipo bora).