Subject Index 
Search
Announcements
Feedback
(29). MKE MZINIFU BWANA AWAPO JELA

Mwanamke mmoja alishitakiwa kuzini wakati ambapo bwana wake alikuwa amefungwa jela. Imam Ali a.s. alitoa hukumu ya kuchapwa viboko badala ya kupigwa mawe hadi kufa.