Imam Ali a.s. alipokuwa akienda Makka kuhiji, aliletewa mtu mmoja aliyetuhumiwa kuzini. Umar alitoa hukumu ya kupigwa mawe hadi kufa. Kwa kuyasikia hayo yaliyotokana na Umar, alimwambia: "Adhabu kamili iliyowekwa na Sharia za Din ni kuchapwa viboko na wala si kurajimiwa kwani ana mke, ambaye wakati huo yupo mbali nae."
|