Kesi ya zinaa ya mwanamke mzima pamoja na mtoto mdogo iliamriwa na Umar kuwa mwanamke huyo arajimiwe. Imam Ali a.s. aliposikia hivyo, alisema: "mwanamke huyo asirajimiwe bali achapwe viboko kwani mtoto katika swala hili bado yu mdogo hivyo hawezi kutofautisha lipi si sahihi."
|