Mara kwa mara baadhi ya watu wajinga husema kuwa wauaji wa Imamu Husayn (a.s.) walikuwa ni Mashia. Ingawa uwongo huo umekwisha kukomeshwa tangu zamani kwa thibitisho zisizopingika, bado uwongo huu ungali ukitembezwa huko na huko, ili kwenda kuitambua hoja hii yenye nguvu, na kuweza kutofautisha baina ya ukweli na uwongo, tutatoa hapa hakika tatu zitakazoongezea kwenye uamuzi usiopingika. Hakika hizi ni:
Kweli hizi tatu zitatusaidia katika kuwatambua wale wanaomshutumu na kumkana Yazid na Wafuasi wake wa kisiasa na wale wenye kuwatukuza na kumchukulia Yazid kuwa ni Khalifa apasikaye kutiiwa.
|