Subject Index 
Search
Announcements
Feedback
5. Shabth ibn Rab'i

Mlaaniwa huyu naye alikuwa miongoni mwa waliomua Imamu Husayn (a.s.). Yeye nae aliongoza kikosi cha askari kwenye masaibu ya Karbala. Kwenye kitabu kiitwacho Taqribu Tahdhib imeonyeshwa kuwa yeye nae yu mpokeaji wa Ahadith za Sihah na upokeaji wake umejipatia nafasi kwenye vitabu vya Abu Dawuud na Imamu Nasa'i.