Subject Index 
Search
Announcements
Feedback
JINA LA UKOO

Jina lake ni Hasan, 'Kunyat' (Jina la heshima) ni Abu Muhammad na kwa kuwa aliishi katika sehemu ya jiji la Samarrah iliyoitwa Askari, jina lake lililojulikana zaidi ni lile la Askari. Baba yake alikuwa Imamu Ali Naqi (a.s.) na mama yake ni Bibi Salil Khatun ambaye alikuwa mfano wa utawa wa hali ya juu, Uchamungu, Utakatifu na Ukarimu.