Subject Index 
Search
Announcements
Feedback
UIMAMU WAKE

Mnamo mwaka wa 254 Hijiriya, Imamu Ali Naqi (a.s.) alifariki wakati Imamu Hasan (a.s.) akiwa na umri wa miaka 22. Miezi minne kabla hajafa, Imamu Ali Naqi (a.s.) aliutangaza Uimamu wa mwanawe na aliwaita wafuasi wake waje kushuhudia.