Tukio la Israa, wako baadhi ya Waislamu wanao ona kuwa Mtume (s.a.w.) alioteshwa na wala hakwenda mwenyewe akiwa macho. Na mategemeo yao ni ile habari aliyoisimulia Mwana Aisha kuwa: "Siku hiyo hakukikosa kiwiliwili cha Mtume". Taz: Tarikhul Khamisi J. 1 Uk. 308 Al' mawahibul laduniyya J. 2 Uk.2
|