Jina lake ni Ali, Kunyat (jina la utoto) wake ni Abul Hasan, na jina lake la heshima ni Naqi (Mtakatifu). Kwa sababu Imamu Ali bin Abi Talib [a] na Imamu Ali Ridha [a] nao walikuwa na Kunyat ya Abul Hasan, Imamu Ali Naqi [a] anaitwa Abul Hasan wa Tatu. Mama yake ni Bibi Samanah Khatuun.
|