Namshukuru Allah swt pamoja Mtume Muhammad s.a.w.w. na Maimamu a.s. kwa kunijaalia kukitayarisha kitabu hiki. Ni matumaini yangu kuwa maudhui haya yatawafaidisha na kutuelimisha sisi sote ili tuweze kujiepusha sisi wenyewe na tusiwachochee wengine wakatumbukia katika ugonjwa huu wa kuwema uwongo. Vitabu vingine pia vimetayarishwa katika mfululizo huu wa kuyarekebiisha na kuyatokomeza mabaya katika jamii yetu kama :
Ni matumaini kuwa mawaidha na nasiha zilizomo katika vitabu hivi vitatusaidia katika kuishi maisha mema na kachana na mabaya. Wabillahi Tawfiq, Nduguyo katika Islam, Amiraly M.H.Datoo Email : datooam@hotmail.com
|