
Kitabu kilichoko mikononi mwako, ni tarjuma ya kitabu cha Kiingereza, kwa jina la: "The role of Ahlul Bait (as) in Preserving the teaching of Islam" Tarjuma ya Mulla Asghaar M. M. Jaffer kutoka lugha ya Kiarabu. Sisi tumekiita: "Nafasi ya Ahlul Bayt katika kuhifadhi mafubdisho ya Kiislamu."
- Nafasi Ya Ahlulbayt (as)
- Neno La Mchapishaji
- Kuhusu Mwandishi
- Utangulizi : Athari Ya Imani Za Kikristo Na Kiyahudi Katika Uislamu
- Uchunguzi Ulioegemea Juu Ya Hadith Hizo Mbili
- Maoni Yetu Juu Ya Haya Yaliyopita
- Kuenea Kwa Imani Za Kikristo Na Kiyahudi Miongoni Mwa Waislamu Kupitia Kwa Waislamu Wenyewe
- Mifano Ya Hadithi Zilizotengenezwa Na Maqatil, Katika Kuwaunga Mkono Makhalifa:11
- Tathmini Ya Hadith Hiyo Hapo Juu:
- Maana Ya Visa Hivi Vifupi:
- Athari Ya Jumla Ya Taurati
- Utangulizi (2): Maneno Halisi Na Yale Ya Kiistiari
- Sura Ya Kwanza: “Mfano” Wa Mwenyezi Mungu
- Sura Ya Pili: “Uso” Wa Mwenyezi Mungu
- Sehemu Ya Tatu: Macho Ya Mwenyezi Mungu
- Sura Ya Nne: “Mikono” Ya Mwenyezi Mungu
- Sura Ya Sita: Kiti Cha Enzi Cha Mwenyezi Mungu
- Sura Ya Saba: Makazi Ya Mwenyezi Mungu
- Sura Ya Nane: Mwenyezi Mungu Nyuma Ya Pazia
- Sura Ya Tisa: Kuona Kwa Mwenyezi Mungu
- Sura Ya Kumi: Kukutana Na Mwenyezi Mungu
- Orodha Ya Vitabu Vilivyo Chapishwa Na Al-Itrah Foundation: