Hili ni vazi rasmi kwa wanawake wa ki-Islamu kama ilivyoainsihwa katika Qur’an Tukufu, na ni amri sahihi kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Hili ni vazi rasmi kwa wanawake wa ki-Islamu kama ilivyoainsihwa katika Qur’an Tukufu, na ni amri sahihi kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Kujifunika kwa mwanamke wa Kiislamu ni jambo la muhimu sana lakini jamii kwa ujumla hu-uliza maswali mengi kuhusu kwa nini mwanamke wa Kiislamu huvaa hijaab.