77- Na Miongoni Mwa Semi Zake (A.S)
Na Miongoni Mwa Semi Zake (a.s) - Al’Isfahaniy ameielzea usemi huu ndani ya ‘Al-Aghaaniy’ Juz. 11, uk. 29, na Al-Azhariy ndani ya ‘Tah’dhiibi-lughah’ Juz. 15, uk. 27.
Kuwahusu Bani Umayyah
“Kwa kweli Bani Umayyah wananiruhusu kiasi kidogo cha mirathi ya Muhammad (s.a.w.w.). Wallahi endapo nitabaki nitawapuliza mpulizo wa muuza nyama apulizapo mnofu wa nyama ulioenea mchanga!”
Maelezo
Ar-Radhiy (r.a) amesema: Na yaelezwa kwa tamko nayo iko katika hali ya kugeuza, kwa sababu ukweli ni kama ilivyokuwa katika riwaya ya kwanza, sio kwa kuwa hilo halina maana, kwa hiyo hii yakusudiwa riwaya iliyogeuzwa.
Na kauli yake (a.s) (Layufawiqunaniy) yaani wananipa kutoka mali ya (Muhammad) kitu kidogo sawa na mkamo mmoja wa maziwa ya ngamia. Na wid-hamu at-taribatu: ni udongo, ni wingi wa neno wadhamatu, nacho ni kipande cha tumbo au cha ini kilichoanguka na kutapakaa vumbi hupulizwa.
- Nahjul Balaghah - Juzuu ya Pili
- Neno La Mchapishaji
- Dibaji
- 56 - Na Miongoni Mwa Maneno Yake (A.S)
- 57 - Na miongoni mwa maneno yake (a.s)
- 58 - Na miongoni mwa usemi wake (a.s)
- 59 - Na Alisema (A.S)
- 60 - Na Amesema (A.S)
- 61 - Na Alisema (A.S.)
- 62 - Na Katika Maneno Yake (A.S)
- 63 - Na Miongoni Mwa Semi Zake (A.S)
- 64 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 65 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 66 - Na Miongoni Mwa Maneno Yake (A.S)
- 67 - Na miongoni mwa semi zake (A.S)
- 68 - Na Miongoni Mwa Maneno Yake (A.S)
- 69 - Na Miongoni Mwa Maneno Yake (A.S)
- 70 - Na Amesema (A.S)
- 71 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 72 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 73 - Na Miongoni Mwa Maneno Yake (A.S)
- 74 - Na Katika Usemi Wake (A.S)
- 75 - Na Miongoni Mwa Semi Zake (A.S)
- 76 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 77- Na Miongoni Mwa Semi Zake (A.S)
- 78 - Na Miongoni Mwa Semi Zake (A.S)
- 79 - Na Miongoni Mwa Maneno Yake (A.S)
- 80 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 81- Na Miongoni Mwa Maneno Yake (A.S)
- 82 - Na Miongoni Mwa Semi Zake (A.S)
- 83 - Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 84 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 85 - Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 86 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 87 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 88 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 89 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 90 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 91 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 92 - Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 93 - Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 94 - Na Miongoni Mwa Khutba Yake (A.S)
- 95 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 96 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 97 - Miongoni Mwa Maneno Yake (A.S.)
- 98 - Na Miongoni Mwa Maneno Yake (A.S)
- 99 - Miongoni Mwa Khutba Zake (A. S)
- 100 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 101 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 102 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A .S)
- 103 - Miongoni Mwa Khutba Zake (A. S)
- 104 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 105 - Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 106 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- 107 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A. S)
- Na Miongoni Mwa Khutba Zake (a.s) - at-Tabari ameieleza katika Ta’arikh yake katika matukio ya mwaka wa 37 H.A., na Ibn Muzahim katika Swifiin, uk. 256.
- 108 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A .S)
- 109 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A .S)
- Kiyama
- 110 - Na Miongoni Mwa Khutba Zake (A.S)
- Orodha Ya Vitabu Vilivyo Chapishwa Na Al-Itrah Foundation: