Umuhimu wa Hijab
Publisher(s):
Kujifunika kwa mwanamke wa Kiislamu ni jambo la muhimu sana lakini jamii kwa ujumla hu-uliza maswali mengi kuhusu kwa nini mwanamke wa Kiislamu huvaa hijaab. Kitabu hiki ni jibu la maswali yote kuhusiana na hijaab. Hakuna shaka kuwa Wasomaji watafaidika kukisoma.
Miscellaneous information:
Umuhimu wa Hijab
Kimeandikwa na:
Sayyid Saeed Akhtar Rizvi
Kimetafsiriwa na:
Dhikiri U M Kiondo
Kimetolewa na Kimechapishwa na
Bilal Muslim Mission of Tanzania
S.L.P. 20033
Dar es Salaam – Tanzania
Featured Category:
- 2133 views