
Hii ni historia ya vuguvugu la Uislamu ambalo lilianzishwa na Muhammad, Mtume wa Allah (s.w.t.) mnamo mwaka 610 A.D. huko Makka, na kuendelea alipohamia Madina mpaka alipofarika. Inahusisha kipindi cha miaka tisini kuanzia 570 A.D. wakati yeye Muhammad alipozaliwa huko Makka, hadi mwaka 661 wakati mrithi wake, Ali ibn Abi Talib, alipouawa huko mjini Kufah.
Historia zisizo na idadi zimeandikwa huko nyuma na zitaandikwa wakati ujao. Maendeleo ya kuvutia ya Uislamu katika nyanja ya ulinganiaji katika nyakati zetu wenyewe; kufufuka upya kwa mataifa ya Kiislamu baada ya karne nyingi za usingizi mzito; kujidukiza kwa mafuta kama wakala mpya katika siasa za kidunia katika karne hii; bali juu ya yote na hivi karibuni kabisa, yale mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu ndani ya Iran, yote haya yanakuwa, kote Mashariki na Magharibi, kama vichocheo vya shauku mpya katika Uislamu.
- Usahihi Wa Historia Ya Uislamu Na Waislamu
- Neno La Mchapishaji Usahihi Wa Historia Ya Uislamu
- Kuhusu Mwandishi, Sayyed Ali Asghar Razwy (1925-1996)
- Utangulizi
- Jografia Ya Arabuni
- Ikolojia (Uhusiano Wa Viumbe Na Mazingira) Ya Arabia
- Arabia Kabla Ya Uislamu
- Hali Ya Ustawi Wa Jamii
- Hali Ya Dini Katika Arabia Ya Kabla Ya Uislamu
- Elimu Miongoni Mwa Waarabu Kabla Ya Uislamu
- Hashim – Kabla Ya Kuzaliwa Uislamu
- Kuzaliwa Kwa Muhammad Na Miaka Ya Mwanzo Ya Uhai Wake
- Ndoa Ya Muhammad Mustafa Na Khadija
- Kuzaliwa Kwa Ali Ibn Abi Talib
- Kabla Tu Ya Tangazo La Ujumbe Wake
- Kuzaliwa Kwa Uislamu
- Waliosilimu Mwanzoni Na Mateso Kutoka Kwa Wapagani
- Hijra Mbili Za Waislamu Kwenda Abyssinia (A.D.D 615-616)
- Hamza Aukubali Uislamu – A.D. 615
- Kususiwa Kiuchumi Na Kijamii Kwa Bani Hashim
- Vifo Vya Khadija Na Abu Talib
- Safari Ya Muhammad Kwenda Taif
- Maeneo Mapya Ya Uislamu
- Mwaka Wa Kwanza Wa Hijiria
- Ujenzi Wa Msikiti Hapo Yathrib
- Adhana Na Swala
- Yathrib Yawa Madina
- Makundi Ndani Ya Madina
- E.A.Belyaev:
- Mkataba Au Katiba Ya Madina
- R.V.C. Bodley:
- Muhajirina Na Ansari
- Hali Ya Kiuchumi Hapo Madina
- D.S. Margoliouth:
- D.S. Margoliouth:
- Udugu Wa Muhajirina Na Ansari
- Muhammad ibn Ishaq:
- Edward Gibbon:
- Muhammad Husein Haykal:
- Makadirio Ya Wajibu Wa Muhajirina Na Wa Ansari
- Vita Vya Kiislamu
- Mwaka Wa Pili Wa Hijiria
- Kubadilishwa Kwa Qibla – February 11, A.D. 624.
- Vita Vya Badr
- V.C.Bodley:
- Sir William Muir:
- Sir William Muir:
- S. Margoliouth:
- Sir William Muir:
- Sir John Glubb:
- S. Margoliouth:
- Tor Andre:
- A.Nicholson:
- Ali Ibn Abi Talib Na Vita Vya Badr
- F.E.Peters:
- Washington Irving:
- Wafungwa Wa Kivita
- Matokeo Ya Vita Vya Badr
- S. Margoliouth:
- Ndoa Ya Fatima Zahra Na Ali Ibn Abi Talib
- Vita Vya Uhud
- D.S. Margoliouth:
- Betty Kelen:
- Sir William Muir:
- Sir John Glubb:
- Sir William Muir:
- Muhammad Husein Haykal:
- R.V.C.Bodley:
- Sir John Glubb:
- Muhammad Husein Haykal:
- Muhammad Ibn Ishaq:
- Betty Kelen:
- Muhammad Husein Haykal:
- D.S.Margoliouth:
- Sir John Glubb:
- Washington Irving:
- Muhammad Husein Haykal:
- Muhammad Husein Haykal:
- D.S.Margoliouth:
- Wajibu wa wale Wanawake wa Makka
- Muhammad ibn Ishaq:
- Kuondoka kwa Jeshi la Makka.
- Sir John Glubb:
- Ali Na Vita Vya Uhud
- Muhammad Ibn Ishaq:
- Mashahidi Wa Uhud
- Muhammad Ibn Ishaq:
- Kuzaliwa Kwa Hasan Na Husein
- Vita Vya Khandaq
- Montgomery
- Waislamu Na Wayahudi
- Ushindi Wa Khaybar
- Betty Kelen
- Muhammad Husein Haykal
- Ibn Ishaq
- Edward Gibbon
- Washington Irving
- Sir William Muir
- R.V.C.Bodley
- Muhammad Husein Haykal
- Matokeo Ya Ushindi Wa Khaybar
- Montgomery Watt
- S. Margoliouth
- Sir John Glubb
- S. Margoliouth
- Shamba la Fadak
- Muhammad Husein Haykal
- Jafar Ibn Abi Talib
- Muhammad Husein Haykal
- Umrah Au Hijja Ndogo – A.D.629 (8 H.A.)
- Barua Za Mtume (S.A.W.) Kwa Watawala Wa Nchi Jirani
- E.Von Grunebaum
- Vita Vya Mu’utah
- Mapambano Ya Dhat Es-Salasil
- Kutekwa Kwa Makka
- Vita Vya Hunain
- Vita Vya Tabuk
- Kutangazwa Kwa Surat Bara’ah (At-Taubah)
- Hija Ya Muago
- Kutawazwa Kwa Ali Ibn Abi Talib Kama Mtawala Wa Baadae Wa Waislamu, Na Kama Kiongozi Wa Umma Wa Kiislam
- Jeshi La Usamah
- Abu Bakr Kama Kiongozi Katika Swala
- Wosia Usioandikwa Wa Mtume Wa Allah (S.A.W.W)
- Wake Zake Muhammad (S.A.W.), Mtume Wa Allah (S.W.T)
- Kifo Cha Muhammad (S.A.W.), Mtume Wa Allah (S.W.T.)
- Hisia Za Familia Na Za Masahaba Wa Muhammad Mustafa (S.A.W.) Juu Ya Kifo Chake
- Kifo Cha Muhammad Mustafa (S.A.W.) Na Umma Wake
- Muhammad Mustafa (S.A.W.) Na Urithi Wake
- Nadharia Ya Kisunni Juu Ya Serikali
- Kugombea Madaraka - 1
- Kuzgombea Madaraka – 2 Mkutano Wa Ansari Ndani Ya Saqifah
- Kugombea Madaraka – 3 Saqifah Banu Sa’ida
- Kugombea Madaraka 4
- Tahakiki Ya Saqifah
- Saqifah Na Mantiki Ya Historia
- Saad Ibn Ubadah, Ansari - Mgombea Wa Ukhalifa
- Abu Bakr, Khalifa Wa Kwanza Wa Waislamu
- Matukio Muhimu Ya Ukhalifa Wa Abu Bakr
- Kujitenga Kwa Ali Na Maisha Ya Kawaida
- Demokrasia Na Waislamu
- Umar Bin Al-Khattab, Khalifa Wa Pili Wa Waislamu
- Uongozi Wa Kiraia Na Kijeshi Na Sera
- Tafakari Kiasi Juu Ya Ushindi Wa Waarabu
- Joel Carmichael:
- Siku Za Mwisho Za Umar Bin Al-Khattab
- Sir John Glubb:
- Wajumbe Wa Kamati Ya Uteuzi
- D.S. Margoliouth:
- E.A. Belyaev:
- Bernard Lewis:
- Dr. Taha Husain:
- Montgomery Watt:
- Laula Veccia Baglieri:
- Fatwa Ya Mu’awiyyah Juu Kamati Ya Uteuzi Ya Umar
- Umar Na Muhammad Mustafa, Mtume Wa Allah Swt.
- Muhammad Husein Haykal:
- Dr. Muhammad Hamidullah:
- Uthman, Khalifa Wa Tatu Wa Waislam.
- R.V.C. Bodley:
- Upingaji Wa Ali
- Kupinga Kwa Ammar Bin Yasir
- Pongezi Za Abu Sufyan Kwa Uthman
- John Alden Williams
- Uthman Bin Affan, Khalifa Wa Tatu Wa Waislam, 644 - 656
- Ndoa Za Uthman
- Matukio Makuu Ya Ukhalifa Wa Uthman
- Upendeleo Na Ukabila Katika Ukhalifa Wa Uthman
- Hakam bin Abul Al-Aas
- Marwan Bin Al-Hakam
- Harith Bin Al-Hakam
- Abdallah Bin Khalid
- Walid Bin Aqaba
- Said Bin Al-Aas
- Abdallah Bin Saad Bin Abi Sarh
- Magavana Wapya Wa Majimbo
- Wanahistoria Wa Kisasa Na Ukhalifa Wa Uthman
- E.A. Belyaev:
- Sir John Glubb:
- Uthman Na Marafiki Wa Muhammad, Mtume Wa Allah Swt.
- Abu Dharr El-Ghiffari
- Muhammad Ibn Ishaq:
- Dr. Taha Husain:
- Ammar Ibn Yasir
- Dr. Taha Husain:
- Abdallah Ibn Mas’ud
- Dr. Taha Husain:
- Uthman Na Wale ‘Wenye Athari Katika Uchaguzi’
- Abdur Rahman Bin Auf
- Amr Bin Al-Aas
- Sir John Glubb:
- Sir John Glubb:
- Sababu Za Kuuliwa Kwa Uthman
- R.V.C. Bodley:
- Uthman Akasema:
- Mauaji Ya Uthman
- Matokeo Ya Kuuawa Kwa Uthman
- Uthman Na “Abdallah Ibn Saba”
- Ali Ibn Abi Talib, Khalifa Wa Nne Wa Waislamu
- Utangulizi Wa Vita
- Vita Vya Basra (Vita Vya Ngamia)
- Kubadilisha Makao Makuu kutoka Madina kwenda Kufa
- Ufufukaji Wa Bani Umayyah
- Edward Gibbon:
- E. A. Freeman:
- R. A. Nicholson:
- Philip K. Hitti:
- Arnold J. Toynbee:
- Rais Jimmy Carter:
- Kutangaza Nguvu Kulikuwa Hakukwepeki
- Mu’awiyah Bin Abu Sufyan
- Muhammad Ibn Ishaq:
- Sir John Glubb:
- Franceso Gabrieli:
- E. A. Belyaev:
- Amr bin Al-Aas
- Edward Gibbon:
- Washington Irving:
- R. V. C. Bodley:
- Sir John Glubb:
- D. M. Dunlop:
- Sir John Glubb:
- Vita Vya Siffin
- Kifo Cha Malik Ibn Ashtar Na Kupokonywa Kwa Misri
- Kuuawa Kwa Ali
- Baadhi Ya Yaliyoakisi Katika Ukhalifa Wa Ali
- Sera Ya Ali (A.S.), Ya Ndani Na Ya Nje
- Ali (A.S.) Kama Mjumbe Wa Amani
- Ali Na Mifano Bora Ya Uhuru Na Fursa
- Orodha Ya “Watu Wa Kwanza” Katika Uislamu
- “Mgawanyo Wa Lazima” Wa Uislamu
- Mihanga Ya Muhammad Kwa Ajili Ya Uislamu
- Kushindwa Kukubwa Kwa Abu Bakr Na Umar
- Ni Nani Aliyeandika Historia Ya Uislam Na Vipi?