
Kitabu hiki kinazungumzia Tawba katika Islam, fadhila zake na faida zake katika maisha ya mwanadamu. Pia kinajadili jinsi ya kutubu tulivyofundishwa na Quran, Mtume Muhammad (SAW) na Aimma.
- Tawba
- Kutoka Kalamu Ya Mtayarishaji
- 1. Tawba
- 2. Uhakika Wa Tawba
- 3. Majuto Na Masikitiko
- 4. Toba Kamilifu
- 5. Fadhila Za Tawba Na Ufaradhi Wake
- 6. Je' Tawbatan - Nasuha' Ni Ipi?
- 7. Fadhila Za Tawba
- (a) Mwenye kufanya TAWBA ni mpenzi wa Allah swt.
- (b) Maovu kubadilishwa kuwa mema
- (c) Malaika huwaombea Dua na kuwasifu
- (d) Mwenye kutubu ni watu wa Peponi
- (e) TAWBA inarefusha maisha
- (f) TAWBA ni sababu ya kukubaliwa kwa Duaa
- (g) TAWBA ni ujumbe mwema kutoka Allah swt
- (h) TAWBA huangamiza madhambi yote kwa pamoja
- (i) TAWBA iliyoombwa haitobatilika iwapo itavunjwa
- (j) Milango ya TAWBA ipo wazi hadi pumzi ya mwisho
- 8. Kufanya Tawba Papo Hapo Ni Faradhi
- 9. Darja Za Tawba
- 10.Hali Ya Tawba Kamilifu Na Sunna Zake
- 11. Uzani Wa Makosa
- 12. Kuzidi Kwa Masikitiko
- 13. Tawba: Saumu, Ghusli Na Sala
- 14. Istighfaar, Kurudia Tawba Na Alfajiri
- 15. Tuifaidi Tawba
- 16. Kilio Cha Mtubia Bora Kuliko Tasbihi Za Malaika
- 17. Allah Swt Huzikubali Tawba
- 18.Tuyateketeze Madhambi Yetu Kwa Tawba
- 19. Tuombe Tawba Kwa Madhambi Tuliyokwisha Tenda
- 20. Tusiwaite Watu Kwa Majina Mabaya Au Majina Ya Utani
- 21. Tawba Ni Faradhi Baada Ya Kila Dhambi
- 22. Tawba Ni Nuru Ya Matumaini
- 23. Kisa Cha Kijana Mwenye Madhambi
- 24.Toba Inaweza Kukubaliwa Kwa Kumtawasuli Imam Hussein
- 25. Moyo Wa Sheitani Hubabaika Kwa Istighfaar Za Watu
- 26. Wenye Kutubu Hawatatoa Ushahidi Dhidi Ya Madhambi Yao
- 27. Viungo Vya Mwili Vitatoa Ushahidi Dhidi Ya Madhambi Yetu
- 28. Mbele Ya Allah Swt Miguu Na Mikono Vitasema
- 29. Tusome Tasbihi Kwa Vidole Kwani Vitatoa Ushahidi Wake
- 30. Je Tawba Iweje?
- 31. Majuto Ya Moyoni Yawe Kwa Ajili Ya Allah Tu
- 32. Mapenzi Ya Ahli Bayt Huelekeza Kwa Tawba
- 33. Tawba Ni Mlango Wa Rehema
- 34. Katika Tawba Ulimi Ndiyo Mfasiri Wa Moyo
- 35. Kuiacha Tawba Na Kuendelea Na Madhambi
- 36. Tawba Ndiyo Sababu Ya Kusamehewa
- 37. Mazungumzo Ya Imam Zaynul Aabediin Na Zahra
- 38. Madhambi Ni Giza Wakati Tawba Ni Nuru
- 39. Madhambi Yote Yanaweza Kusamehewa
- 40. Tawba Ya Mauaji
- 41. Tawba Hutuepusha Na Moto Wa Jahannam
- 42. Msamaha Ndiyo Malipo Ya Istighfaar
- 43. Mazungumzo Ya Bahati
- 44. Aya Ya Qurani Zizungumziazo Tawba
- 45. Sifa Za Wamchao Allah
- 46. Dua Ya Imam Zaynul Aabediin Katika Kuomba Tawba
- 47. Mwongozo Wa Dua Zizungumziazo Tawba Katika Sahifai Sajjadiyyah