Lifuatalo Ni Jibu Alilotoa Mtukufu Mtume (S.A.W) Wakati Alipoulizwa Na Imam Ali (A.S) Kuhusu Ni Nini Iliyokuwa Sunna (Mwenendo) Yake
• Kumbukumbu juu ya Mungu ni Rafiki yangu
• Hekima ndiyo mzizi wa Imani yangu
• Upendo ndio Msingi wangu
• Shauku ndiyo Farasi wangu
• Kumjua Mungu ndio Mtaji wangu
• Uimara ndiyo Hazina yangu
• Huzuni ndiyo Mwenza wangu
• Elimu ndiyo Silaha yangu
• Subira ndiyo Joho langu
• Kinaa ndiyo Ngawira yangu
• Ufukara ndiyo Fahari yangu
• Upendo ndio Sanaa yangu
• Uhakika ndiyo Nguvu yangu
• Ukweli ndiyo Mkombozi wangu
• Utii ndiyo Kitoshelezo changu
• Jitihada ndiyo Tabia yangu
Na furaha yangu iko ndani ya swala
Rejea: