read

Jedwali Ya Maasumina Kumi Na Wanne.

JINA TAREHE YA KUZALIWA TAREHE YA KUFARIKI ALIKOZIKWA
Mtume Muhammad bin Abdillahi (s.a.w) Mwezi 17 Shawwal (Mfungo sita) mwaka wa 52 kabla ya Hijrah Mwezi 28 Safar (Mfungo tano) mwaka wa 11 Hijiriyyah Madina ;
Saudi Arabia
Imam Ali bin Abi Talib (a.s) Mwezi 13 Rajab mwaka wa 23 kabla ya Hijrah Mwezi 21 Ramadhan mwaka wa 40 Hijiriyyah Najaf; Iraq
Fatimah binti Muhammad (a.s) Mwezi 20 Jamadil Akhar (Mfungo tisa) mwaka wa 8 kabla ya Hijrah Mwezi 3 Jamadil Akhar (Mfungo tisa) mwaka wa 11 Madina ;
Saudi Arabia
Imam Hassan bin Ali (a.s) Mwezi 15 Ramadhan mwaka wa 3 Hijiriyyah Mwezi 28 safar (Mfungo tano) mwaka wa 50 Madina ;
Saudi Arabia
Imam Hussein bin Ali (a.s) Mwezi 3 Shabaan mwaka wa 4 Hijiriyyah Mwezi 10 Muharram (Mfungo) mwaka wa 61 Hijiriyyah Karbala; Iraq
Imam Ali bin Hussein (a.s) Mwezi 5 Shabaan mwaka wa 38 Hijiriyyah Mwezi 25 Muharram (Mfungo nne) mwaka wa 95 Hijiriyyah Madina ;
Saudi Arabia
Imam Muhammad bin Ali (a.s) Mwezi 1 Rajab mwaka wa 57 Hijiriyyah Mwezi 7 Dhul-hijja (Mfungo tatu) mwaka wa 114 Hijiriyyah Madina ;
Saudi Arabia
Imam Ja’far bin Muhammad (a.s) Mwezi 17 Rabiul-Awwal (Mfungo sita) mwaka wa 83 Hijiriyyah Mwezi 25 Shawwal (Mfungo mosi) mwaka wa 148 Madina ;
Saudi Arabia
Imam Musa bin Ja’far (a.s) Mwezi 6 Safar(Mfungo tano) mwaka wa 128 Hijiriyyah Mwezi 25 Rajab mwaka wa 183 Hijiriyyah Kadhimiyyah; Iraq
Imam Ali bin Musa (a.s) Mwezi 11 Dhul-Qada (Mfungo pili) mwaka wa 148 Hijiriyyah Mwezi 29 Safar (Mfungo tano) mwaka wa 203 Hijiriyyah Khurasaan; Iran
Imam Muhammad bin Ali (a.s) Mwezi 10 Rajab mwaka wa 195 Hijiriyyah Mwezi 29 Dhul-Qada (Mfungo pili) mwaka wa 220 Kadhimiyyah; Iraq
Imam Ali bin Muhammad (a.s) Mwezi 2 Rabil-Akhar (Mfungo saba) mwaka wa 212 Hijiriyyah Mwezi 3 Rabiul-Awwal (Mfungo Sita) mwaka 254 Hijiriyyah Samarraa; Iraq
Imam Hassan bin Ali (a.s) Mwezi 8 Rabil-Akhar (Mfungo saba) mwaka wa 232 Hijiriyyah Mwezi 8 Rabiul-Awwal (Mfungo Sita) mwaka wa 260 Hijiriyyah Samarraa; Iraq
Imam Muhammad bin Hassan Al-Mahdi (a.s) Mwezi 15 Shaaban mwaka wa 255 Hijiriyyah Bado yu hai na yuko katika Ghaiba kuu