Jedwali Ya Maasumina Kumi Na Wanne.
| JINA | TAREHE YA KUZALIWA | TAREHE YA KUFARIKI | ALIKOZIKWA |
| Mtume Muhammad bin Abdillahi (s.a.w) | Mwezi 17 Shawwal (Mfungo sita) mwaka wa 52 kabla ya Hijrah | Mwezi 28 Safar (Mfungo tano) mwaka wa 11 Hijiriyyah | Madina ; Saudi Arabia |
| Imam Ali bin Abi Talib (a.s) | Mwezi 13 Rajab mwaka wa 23 kabla ya Hijrah | Mwezi 21 Ramadhan mwaka wa 40 Hijiriyyah | Najaf; Iraq |
| Fatimah binti Muhammad (a.s) | Mwezi 20 Jamadil Akhar (Mfungo tisa) mwaka wa 8 kabla ya Hijrah | Mwezi 3 Jamadil Akhar (Mfungo tisa) mwaka wa 11 | Madina ; Saudi Arabia |
| Imam Hassan bin Ali (a.s) | Mwezi 15 Ramadhan mwaka wa 3 Hijiriyyah | Mwezi 28 safar (Mfungo tano) mwaka wa 50 | Madina ; Saudi Arabia |
| Imam Hussein bin Ali (a.s) | Mwezi 3 Shabaan mwaka wa 4 Hijiriyyah | Mwezi 10 Muharram (Mfungo) mwaka wa 61 Hijiriyyah | Karbala; Iraq |
| Imam Ali bin Hussein (a.s) | Mwezi 5 Shabaan mwaka wa 38 Hijiriyyah | Mwezi 25 Muharram (Mfungo nne) mwaka wa 95 Hijiriyyah | Madina ; Saudi Arabia |
| Imam Muhammad bin Ali (a.s) | Mwezi 1 Rajab mwaka wa 57 Hijiriyyah | Mwezi 7 Dhul-hijja (Mfungo tatu) mwaka wa 114 Hijiriyyah | Madina ; Saudi Arabia |
| Imam Ja’far bin Muhammad (a.s) | Mwezi 17 Rabiul-Awwal (Mfungo sita) mwaka wa 83 Hijiriyyah | Mwezi 25 Shawwal (Mfungo mosi) mwaka wa 148 | Madina ; Saudi Arabia |
| Imam Musa bin Ja’far (a.s) | Mwezi 6 Safar(Mfungo tano) mwaka wa 128 Hijiriyyah | Mwezi 25 Rajab mwaka wa 183 Hijiriyyah | Kadhimiyyah; Iraq |
| Imam Ali bin Musa (a.s) | Mwezi 11 Dhul-Qada (Mfungo pili) mwaka wa 148 Hijiriyyah | Mwezi 29 Safar (Mfungo tano) mwaka wa 203 Hijiriyyah | Khurasaan; Iran |
| Imam Muhammad bin Ali (a.s) | Mwezi 10 Rajab mwaka wa 195 Hijiriyyah | Mwezi 29 Dhul-Qada (Mfungo pili) mwaka wa 220 | Kadhimiyyah; Iraq |
| Imam Ali bin Muhammad (a.s) | Mwezi 2 Rabil-Akhar (Mfungo saba) mwaka wa 212 Hijiriyyah | Mwezi 3 Rabiul-Awwal (Mfungo Sita) mwaka 254 Hijiriyyah | Samarraa; Iraq |
| Imam Hassan bin Ali (a.s) | Mwezi 8 Rabil-Akhar (Mfungo saba) mwaka wa 232 Hijiriyyah | Mwezi 8 Rabiul-Awwal (Mfungo Sita) mwaka wa 260 Hijiriyyah | Samarraa; Iraq |
| Imam Muhammad bin Hassan Al-Mahdi (a.s) | Mwezi 15 Shaaban mwaka wa 255 Hijiriyyah | Bado yu hai na yuko katika Ghaiba kuu |