Kitabu hiki kinazungumzia wajibu wa Kiislamu wa malipo ya Zakah na Khums, msingi wake katika Qur'an na Dini, mipaka yake kisheria, na adhabu kwa mtu asietoa Zakah na Khums ziilizofaradhishwa.

Dhambi Kuu La Kutokulipa Zaka, Khums na Sadaqah Kimeandikwa na Syed Dastaghib Shirazi Kimetarjumiwa na kuhaririwa na Amiraly M. H. Datoo Bukoba - Tanzania