
Makali hii inaeleza kwa ufupi maisha ya Imam wa kumi ambaye ni mmoja wa minara ya Uchamungu. Kwa hakika kila Imam alipatwa na mateso mengi kutoka kwa utawala dhalimu. Lakini namna walivyoikabili ni somo kwetu.
Ukweli Katika Minyororo (Imamu Ali Naqi [a])
Kimeandikwa na
Maulana Sayyid Ali Naqi Saheb
Kimetafsiriwa na
Maalim Dhikiri Omari Kiondo
Kimechapishwa na
Bilal Muslim Mission of Tanzania
S.L.P. 20033
Dar es Salaam - Tanzania