
Mwandishi wa kijitabu hiki ame fafanua vizuri kuwa mizizi ya imani ya Ukristo hailingani na mafundisho hasa ya Yesu.
Licha ya kuwa mfuasi mzuri wa madhehebu yake ya kiprotestanti, alijikuta ana maswali mengi kuhusiana na misingi halisi ya imani.
Na hilo ndilo lilimpeleka kufanya utafiti wa kina hadi amefikia uamuzi wa kubadilisha dini na kuwa mwislamu- dini lililojibu maswali yake yote.
Msomaji atafaidika kwa ksoma kitabu hiki.