
Kitabu hiki kinazungumzia Tawba katika Islam, fadhila zake na faida zake katika maisha ya mwanadamu. Pia kinajadili jinsi ya kutubu tulivyofundishwa na Quran, Mtume Muhammad (SAW) na Aimma.
Tawba
Kimeandikwa Na
Shahid-i-Mihrab Syed Dastaghib Shirazi
Kimetarjumiwa Na Kuhaririwa Na
Amiraly M. H. Datoo
Bukoba - Tanzania