Kitabu hiki kinazungumzia Tawba katika Islam, fadhila zake na faida zake katika maisha ya mwanadamu. Pia kinajadili jinsi ya kutubu tulivyofundishwa na Quran, Mtume Muhammad (SAW) na Aimma.

Tawba Kimeandikwa Na Shahid-i-Mihrab Syed Dastaghib Shirazi Kimetarjumiwa Na Kuhaririwa Na Amiraly M. H. Datoo Bukoba - Tanzania